Orodha ya majina ya wasanii walioingia 20 bora ni kama ifuatavyo:
1. Dr. Dre – Dola milioni 110 sawa na shilingi bilioni 173.3
2. Diddy – Dola milioni 45 sawa na shilingi bilioni 70.9
3. Jay-Z – Dola milioni 38 sawa na shilingi bilioni 59.9
4. Kanye West – Dola milioni 35 sawa na shilingi bilioni 55.1
5. Lil Wayne – Dola milioni 27 sawa na shilingi bilioni 42.5
6 Drake – Dola milioni 20.5 sawa na shilingi bilioni 32.3
7. Birdman – Dola milioni 20 sawa na shilingi bilioni 31.5
8. Nicki Minaj – Dola milioni 15.5 sawa na shilingi bilioni 24.4
9. Eminem – Dola milioni 15 sawa na shilingi bilioni 23.6
10. Ludacris – Dola milioni 12 sawa na shilingi bilioni 18.9
11. Pitbull – Dola milioni 9.5 sawa na shilingi bilioni 14.9
12. Rick Ross – Dola milioni 9 sawa na shilingi bilioni 14.2
12. Wiz Khalifa – Dola milioni 9 sawa na shilingi bilioni 14.2
14. Snoop Dogg – Dola milioni 8.5 sawa na shilingi bilioni 13.4
15. 50 Cent – Dola milioni 7.5 sawa na shilingi bilioni 11.8
16. Swizz Beatz – Dola milioni 7 sawa na shilingi bilioni 11
16. Pharrell – Dola milioni 7 sawa na shilingi bilioni 11
16. Young Jeezy – Dola milioni 7 sawa na shilingi bilioni 11
19. Mac Miller – Dola milioni 6.5 sawa na shilingi bilioni 10.2
20. Akon – Dola milioni 6 sawa na shilingi bilioni 9.5
20. Timbaland – Dola milioni 6 sawa na shilingi bilioni 9.5
20. Tech N9ne – Dola milioni 6 sawa na shilingi bilioni 9.5
No comments:
Post a Comment