Sunday, October 21, 2012

Tahadhari kwa wanaotangaziwa kuuzwa kwa viwanja Ufukweni Kimbiji, Dar es Salaam

Eneo la Kimbiji Dar es Salaam.
Wanunuzi kabla hamjanunua viwanja hivyo tafadharini sana kwanza wasiliana na ofisi ya serikali ya kijiji au ofisi ya katibu mtendaji Kimbiji, ili ujue uhalali wa umiliki wa muuzaji, pia mnashauriwa kuwasiliana na uongozi wa kijiji Kimbiji, Diwani simu namba 0713768082, Mwenyekiti simu 0713846688 viongozi wa kijiji wanayajua vema maeneo na wamiliki halali wa maeneo haya.
Wenu watiifu
Wanakijiji Kimbiji

No comments:

Post a Comment