Monday, April 29, 2013

JK ATUNUKU NISHANI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO


Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Rais Dkt  Jakaya Mrisho Kikwete (katikati, mbeke)  akiwa katika picha ya pamoja na askari 30 aliowatunuku nishani mbalimbali, ikiwa ni moja ya shamrashamra ya kuadhimiasha miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ikulu, Dar es Salaam
Rais Kikwete  akiwa na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu Tanzania
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Tabia Njema
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu
JK akiwa katika ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Ushupavu
Rais Kikwete akiwa na wajumbe wa kamati ya Nishani

No comments:

Post a Comment