Hips hazidanganyi na vipimo vya mimba pia: Shakira ni mjamzito!
Mwanamuziki huyo wa kilatini, 35, alitumia ukurasa wake wa Facebook kutangaza kwamba anatarajiwa kupata mtoto wake wa kwanza na mwanasoka wa kimataifa wa Hispania na klabu ya Barcelona Gerard Pique, aliandika, "Kama baadhi yenuu mnavyojua, Gerard na mimi tuna furaha kwa kutarajia kupata mtoto wetu wa kwanza!"
"Tumeamua kuupa umuhimu wakati hu mzuri sana kwetu katika maisha yetu na kuhairisha kila kitu kuhusu kazi zangu nilizozipanga kufanya hivi karibuni," alisema Shakira na kuongeza. "Hii inamaanisha sitokuwepo katika tamasha la iHeartRadio."
Kwa taarifa hiyo Gerard Pique anaungana na Lionel Messi ambaye nae anasubiri nae kuitwa baba miezi kadhaa ijayo .



Mwanamuziki huyo wa kilatini, 35, alitumia ukurasa wake wa Facebook kutangaza kwamba anatarajiwa kupata mtoto wake wa kwanza na mwanasoka wa kimataifa wa Hispania na klabu ya Barcelona Gerard Pique, aliandika, "Kama baadhi yenuu mnavyojua, Gerard na mimi tuna furaha kwa kutarajia kupata mtoto wetu wa kwanza!"
"Tumeamua kuupa umuhimu wakati hu mzuri sana kwetu katika maisha yetu na kuhairisha kila kitu kuhusu kazi zangu nilizozipanga kufanya hivi karibuni," alisema Shakira na kuongeza. "Hii inamaanisha sitokuwepo katika tamasha la iHeartRadio."
Kwa taarifa hiyo Gerard Pique anaungana na Lionel Messi ambaye nae anasubiri nae kuitwa baba miezi kadhaa ijayo .
Posted: 20 Sep 2012 10:23 AM PDT
Miaka miwili ndani ya mkataba huo, wakatalunya sasa wamepeleka ombi la kampuni hiyo ya kituruki kupeleka wahudumu wa kike tu kwenye ndege wanayopanda timu hiyo kwa ajili ya safari zao. Sababu kubwa waliyoitoa ni kwamba wahudumu wa kiume mara nyingi huwa wanasumbua kwa kuwa washabiki wao hivyo wanakosa utulivu safarini. Gazeti la kituruki Hurriyet linaripoti:
"Wahudumu wa kiumemara nyingin wanakuwa wanasumbua kwa kutaka autographs na jezi kutoka kwa wachezaji vipenzi vya mashabiki wengi duniani kama Lionel Messi na Andres Iniesta, jambo ambalo muda mwingine linakuwa kero kwa timu."
Kwa maana hiyo Turkish Airline wamekubali ombi la Barca na wamewachagua mademu 20 kwa ajili ya kuwahudumia Barcelona katika safari zao. Na hapo chini ndivyo Lionel Messi alivyopokewa taarifa hizo za watoto wa kike 20 kumuhudumia kwenye ndege.




No comments:
Post a Comment