Monday, October 15, 2012

SHILOLE, SAJENTI WAKWIDANA CHOONI!


Hamida Hassan na Gladness Mallya
WASANII wa filamu za Kibongo, Zuwena Muhammed ‘Shilole’ na Husna Idd ‘Sajent’ hivi karibuni walizinguana na kufikia hatua ya kukwidana katika choo kilichopo ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar.
Chanzo chetu kilichokuwa katika eneo la tukio kilidai kuwa, kisa cha wawili hao kukwidana kilianzia kwenye kikao cha kuchagua uongozi mpya wa Bongo Movies.

No comments:

Post a Comment