Friday, December 21, 2012

RAIS KIKWETE APONGEZWA NA WASANII WAKONGWE KWA KUWAJALI


Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wasanii wakongwe nchini.
Rais Kikwete akiongea na ujumbe wa wasanii wakongwe nchini uliomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Kikwete akiongea na mmoja wa wajumbe waliomtembelea.
Rais Kikwete akiagana na ujumbe huo.
---
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete leo Desemba 21, 2012 amepokea ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja na filamu uliomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam kwa kuwajali wasanii wa aina zote na hata kuamua kutoa tuzo kwa wasanii ambapo mwaka huu amewatunuku Muhidin Maalim Gurumo na Hayati Marijani Rajabu.
(PICHA NA IKULU)

No comments:

Post a Comment