Baadaye mwili wa marehemu utasafirishwa leo majira ya saa 12 jioni kueleka jijini Dar es salaam ambako kesho wananachi wa jiji humo watapata fursa ya kuuaga mwili wa marehemu na kesho hiyo hiyo mwili wa marehemu utasafirishwa kwa ndege kwenda Tarime kwa mazishi.
Kabla ya kufikia maamuzi hayo wawakilishi kutoka wiraza ya habari na micheo na utamaduni pamoja na wajumbe kutoka l.T.V waliketi kikao na familia ya mrehemu na uongozi wa Abood Media na kukubaliana kwa pamoja kutoa fursa kwa wananachi ya Dar es salaama ambako Anko J ameishi na kufanya kazi kwa muda mrefu wapate pia fursa ya kuaga mwili wa marehemu.
NA DUSTAN SHEKIDELE,GPL MOROGORO NA MAKTABA/GPL
No comments:
Post a Comment