Friday, August 31, 2012

LIVE - SIKU YA MWISHO YA USAJILI BARANI ULAYA - USAJILI ULIOKAMILIKA NA TETESI


Lassana Diara, mchezaji wa zamani wa Chelsea, Arsenal na Portsmouth, amejiunga na Anzhi Makhachkhala kutoka Real Madrid

Breaking news - Edinson Cavan amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Napoli na kuzima uvumi wa kutaka kujiunga na Chelsea.

Golikipa Hugo Lloris wa Lyon amekamilisha vipimo vya afya na Tottenham na muda mchache ujao itatolewa taairfa kuhusu ukamilishaji wa uhamisho wake.

Nigel De Jong ameondoka rasmi Manchester City na kujiunga na AC Milan kwa ada ya uhamisho ya £3.4million

Gael Kakuta ameenda kwa mkopo Vitesse Arnhem kutokea Chelsea

Ryan Babel mchezaji wa zamani wa Liverpool, amerudi timu yake ya utotoni Ajax akitokea Hoffenheim

Gael Kakuta

Hatimaye Dimitar Berbatov amehamia rasmi Fulham kutoka Manchester United kwa ada ya £5million

Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Douglas Maicon amesajiliwa kutoka Inter Milan kwenda Manchester City

Charlie Adam amejiunga na Stoke City City akitokea Liverpool kwa ada ya £4MILLION



Andy Carroll amejiunga na West Ham kwa mkopo wa mwaka mzima

Rafael Van Der Vaart amejiunga na Schalke akitokea Tottenham Hotspur

Pablo Hernandez amejiunga na Swansea City akitokea Valencia ya Spain

Scott Sinclair amekamilisha uhamisho wake kutoka Swansea na kuhamia kwa mabingwa wa England Man City

Nicklas Bendtner amehama Arsenal na kwenda kujiunga na Juventus ya Italia

97697618628698799

No comments:

Post a Comment