Tuesday, August 7, 2012

SHAMRA SHAMRA ZA MKUTANO WA CHADEMA LONDON‏ LEO

Haya ni maandalizi ya mkutano wa ufunguzi wa tawi la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakaofanyika jijini London leo. Tawi hilo litafunguliwa na Mheshimiwa Godbless Lema saa 2 usiku. Katika mkutano huo, pia watachaguliwa viongozi mbalimbali wa Chadema  tawi la London.

No comments:

Post a Comment