WAREMBO wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2012 jana walishiriki kwenye michezo mbalimbali ikiwemo mchezo wa wavu katika fukwe ya Bahari ya Hindi kwenye mwendelezo wa maandalizi ya fainali ya Redd's Miss Tanzania itakayofanyika mwezi ujao.
No comments:
Post a Comment