

Katibu wa NEC,Uchumi na Fedha, Zakia Meghji,akibadilisha mawazo na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi pamoja na Katibu Mkuu Ndugu Abdurahaman Kinana leo, Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Ndugu Mwigulu Nchemba akijadiliana jambo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa wakati wa semina juu ya kuondoa tatizo la ajira nchini.

Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi na Katibu wa NEC,Uchumi na Fedha wakijadili jambo la ajira kwa nchi nzima wakati wa semina ya mikakati ya kuondoa tatizo la ajira nchini, leo kwenye ukumbi wa NEC, Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wakifuatilia kwa makini semina juu ya Mikakati ya kuondoa tatizo la ajira nchini.
PICHA NA www.ccmchama.blogspot.com
No comments:
Post a Comment