Monday, October 14, 2013

TUTAKUKUMBUKA DAIMA BABA WA TAIFA


Mwalimu Julius Kambarage Nyerere enzi za uhai wake.
Ni miaka 14 sasa tangu ulipotutoka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Daima tunakukumbuka kutokana na hekima na busara zako pamoja na kudumisha Umoja, Amani na Mshikamano kati yetu Watanzania.

No comments:

Post a Comment