Friday, June 13, 2014

MEXICO YAIZIMA CAMEROON


Oribe Peralta akiipatia bao Mexico katika dakika ya 61 ya mchezo.
Mexico wakishangilia ushindi wao dhidi ya Cameroon.
Mshambuliaji wa Cameroon, Samuel Eto'o akisikitika baada ya kukosa bao.
Alex Song (katikati) akiwa kazini.
CAMEROON wameanza vibaya Fainali za Kombe la Dunia baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Mexico kwenye mechi iliyopigwa hivi punde nchini Brazil.
Bao la Mexico limewekwa kimiani na Oribe Peralta katika dakika ya 61 ya mchezo.
VIKOSI:
Mexico: Ochoa, Layun, Moreno, Marquez, Rodriguez, Aguilar, Guardado (Fabian 69'), Vazquez, Herrera, Giovani, Peralta (Hernandez 74').
Benchi: Corona, Salcido, Reyes, Jimenez, Pulido, Ponce, Brizuela, Aquino, Pena, Talavera.
Kadi za njano: Moreno
Mabao: Peralta 61'
Cameroon: Itandje, Djeugoue (Nounkeu 45'), N'Koulou, Chedjou, Assou-Ekotto, Song (Webo 79'), Mbia, Enoh, Moukandjo, Eto'o, Choupo-Moting.
Benchi: Feudjou, Aboubakar, Makoun, Bedimo, Fabrice, Salli, Matip, Nyom, N'Djock.
Kadi za njano: Nounkeu
Mwamuzi: Wilmar Roldan Perez
Mashabiki: 39, 216

No comments:

Post a Comment