







Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mh. Joachim Gauck na Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania wakitazama Brass Bendi ya Jeshi la Polisi iliyokuwa ikitumbuiza wakati wa dhifa hiyo Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais wa Ujerumani Mh. Joachim Gauck na Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania wakitazama vikundi mbalimbali vya ngoma za asili vilivyokuwa vikitumbuiza wakati wa dhifa ya kitaifa Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mh. Joachim Gauck (wa pili kutoka kulia) akiteta jambo na Rais mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi jana usiku wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt na mama Sitti Mwinyi Mwinyi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Rais wa Ujerumani Mh. Joachim Gauck na mkewe Bi.Daniella Schadt wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyowaandalia wageni hao jana Usiku, Ikulu jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment