Sunday, October 7, 2012

MWILI WA KARDINALI LAUREAN RUGAMBWA WAZIKWA UPYA JIMBONI BUKOBA


Mwili wa Kardinali Laurean Rugambwa baada ya kuzikwa ndani ya Kanisa Kuu Katoliki Jimboni Bukoba jana Oktoba 6, 2012.
Kaburi la Kardinali Rugambwa lililopo ndani ya Kanisa Kuu Katoliki Jimboni Bukoba jana.
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Kardinali Laurean Rugambwa kabla ya kuzikwa katika Kanisa Kuu Katoliki Jimboni Bukoba.
PICHA KWA HISANI YA BUKOBA WADAU BLOG

No comments:

Post a Comment