Friday, February 8, 2013

TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO


2-pm-na Mwanjelwa(Kulia)


Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo na Mary Mwanjelwa (Viti Maalumu) katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo.
4-IMG_2889
Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo, akiongea na Lucy Owenya  (Viti Maalumu) Bungeni mjini Dodoma leo.
3-IMG_2886
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na wabunge (katikati ) ni Mary Mwanjelwa (-Viti Maalumu) na James Lembeli (kulia) Bungeni leo.
Mbunge wa Mtwara Mjini,  Hasnain Murji akiuliza swali Bungeni leo.
(Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO)

No comments:

Post a Comment