MAADHIMISHO ya Wiki ya Utumishi wa Umma yamefunguliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika, leo 16 Juni mwaka huu ambapo yataendelea hadi Juni 23 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam ambapo yalisindikizwa kwa michezo na burudani mbalimbali.
(Picha na Gabriel Ng’osha/GPL)
No comments:
Post a Comment