Saturday, August 18, 2012

EBOLA YAIBUKA DRC

 
Ugonjwa wa Ebola umezuka kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Virusi cya Ebola
Wagonjwa wawili wamethibitishwa kuwa na virusi, mmoja wao amefariki.
Shirika la matibabu la MSF, lenye watu wake Isiro, linasema hatua zinachukuliwa ili kumtafuta na kumtenga mtu yeyote ambaye aliwakaribia wale walioambukizwa.
MSF inasema aina ya virusi vya Ebola ya Congo ni tofauti na ile ya Uganda, ambayo iliuwa watu 16 mwezi uliopita.

No comments:

Post a Comment