KIKUNDI cha wanamuziki wa Tanzania kijulikanacho kama Ngoma Africa Band aka FFU chenye maskani yake nchini Ujerumani juzi Jumatano kiliwachengua mashabiki wake kwa onyesho lililofanyika ndani ya jumba la ajabu la "Klimahaus Arena” mjini Bremerhaven, Ujerumani, ambapo uwanja wa dansi ulionekana mdogo.
Ngoma Africa Band aka maarufu kwa majina mengi ya utani kama vile "Watoto wa Mbwa" au "Wazee wa Bongo Tambarare" watatumbuiza tena siku ya Jumamosi hii katika Maonyesho ya AFRIKA-MESSE mijini Bremen, Ujerumani.
Usikose kuwasikiliza at www.ngoma-africa.com
Ngoma Africa Band aka maarufu kwa majina mengi ya utani kama vile "Watoto wa Mbwa" au "Wazee wa Bongo Tambarare" watatumbuiza tena siku ya Jumamosi hii katika Maonyesho ya AFRIKA-MESSE mijini Bremen, Ujerumani.
Usikose kuwasikiliza at www.ngoma-africa.com
No comments:
Post a Comment