Monday, April 29, 2013

PADRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU!

Na Mwandishi Wetu
KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lina sakata zima.

No comments:

Post a Comment